Sunday, 27 October 2013

AJALI MBAYA YATOKEA MBEZI JIJINI DAR, BAADA YA DALADALA KUGONGA MAGARI 2 NA BAJAJI 2


Ajali mbaya imetokea eneo la bondeni, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam baada ya daladala ya Mwenge Kariakoo kukosa break na kugonga magari mawili na bajaji mbili. Katika ajali hiyo mama mmoja amegongwa vibaya na amekimbizwa hospitali ya Lugalo kwa matibabu.

Hali haikuwa nzuri maana kila mmoja alikuwa katika hali ya taharuki.


Bajaji zikiwa zimegongwa vibaya.

UPDATES: INASIKITISHA SERENGETI FIESTA YAISHA KWA AIBU KUBWA, WASANII KIBAO HAWAJAPANDA KWA STAGE AKIWEMO MOHOMBI,DIAMOND,CHEGE N.K...!


Usiku wa kuamkia leo pale leaders Club jijini Dar es Salaam Palikuwa hapatoshi kulikuwa na nyomi ya kufa mtu wakipata Raha za Fiesta ila Gafla Majira ya saa 10 usiku Umeme Ukazima gafla Wakati Ommy Dimpoz akiwa jukuani na J.Martins kutoka Nigeria na kusababisha show hiyo iishie hapo.
Wengi Wamelalamika kwa Sababu Wasanii Wengi akiwemo Diamond,Chege,Temba,Madee,Afande Sele na Wengine Kibao hawajafanya show Wakati walikuepo kwa Ratiba.Kama Vile

haitoshi hata Msanii kutoka Sweden Mahombi hajafanikiwa kufanya show.Watu wamesubiri mpaka saa 11 alfajiri hatimaye wakakata tamaa na kuanza kuondoka huku lawama nyingi zikienda kwa Waandaaji kwa kutojipanga Vizuri.
Watu kiukweli walijaa sana na wamepata adhabu ya kusimama zaidi ya Masaa 10 kwa sababu kulikuwa hakuna Viti wala mahali pa kukaa hivyo ukiingia ndani ni kusimama mpaka show inaisha.
Kitu kingine kibaya ni kujaa kwa Wauni wengi nje ya ukumbi nawatu wameporwa vitu vyao hadharani tena kwa nguvu.
Maoni yangu kwa Waandaaji ni kujipanga ili kuepushana na Aibu waloipata Mwaka huu!!

TAZAMA PICHA JINSI DIAMOND ALIVYOVAMIWA NA WANAFUNZI AKIWA MLIMANI CITY..

Akiwa ktk harakati za hapa na pale kutafuta vitu vyake binafsi kundi kubwa la wanafunzi lilikuja na kumvamia huku wakiomba sign ya msanii diamond na wengine wakitaka kupiganae picha. Fungua na utazame picha jinsi tukio zima lilivyo kuwa...







Saturday, 26 October 2013

ARSENAL YAENDELEA KUTAKATA LIGI KUU ENGLAND

article-2477340-18FEB71100000578-695_634x393_a38e9.jpg
ARSENAL imeibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu England leo na kuendelea kujinafasi kileleni mwa ligi hiyo.
Mikel Arteta alifunga bao moja kwa penalti dakika ya 47 kabla ya kutolewa nje kwa kadi nyekundu kwa na Olivier Giroud akafunga la pili dakika ya 87.
Kikosi cha Arsenal kilikuwa: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Arteta, Flamini/Gnabry dk7/Wilshere dk69, Ramsey, Ozil, Cazorla/Monreal dk72 na Giroud
Crystal Palace: Speroni, Ward, Delaney, Gabbidon, Moxey, Jedinak, Dikgacoi, Bannan/Gayle dk77, Thomas/Bolasie dk58, Guedioura/Kebe dk72 na Chamakh.
Matokeo mengine ya ligi kuu ya uingereza
Crystal Palace 0 - 2 Arsenal
Aston Villa 0 - 2 Everton
Liverpool 4 - 1 West Bromwich Albion
Manchester United 3 - 2 Stoke City
Norwich City 0 - 0 Cardiff City      (P.T)

 

LEO NI BIRTHDAY YA VJ PENNY AMBAE NI MCHUMBA WA DIAMOND EBU CHEKI ALICHOKISEMA DIAMOND.





 Naye Penny alijibu hiki

“Baby u just made me cry!! Oh God Naseeb I luv u so much hubby…wallahi sina hata cha kujibu to make u understand How I appreciate ur sweet luv,God has given me so many things but bringing u in my life is the best gift I have received…U just made my day,years,a lifetym…I wont forget this…thank u hubby.”
ENZI ZILE MAPENZI BILA WEMA....NOW SHE'S BACK FOR THE LOVE OF HER LIFE THINGS ARE GONNA CHANGE...

Thursday, 24 October 2013

Stylish duo-Beyonce & Blue Ivy in coordinating outfits

22-month-old Blue Ivy is already following in her mum's diva footsteps.Wearing coordinating outfits and a matching frown for the papparazzi..
Cute duo
Once again I'm sorry friends, will publish a diary soon...In a few days all would be on track. Thanks for the patience and care

Wednesday, 23 October 2013


 

Inside Kim Kardashian and Kanye West's Wedding Plans: "It's Going to Be Huge!"

Kanye West, Kim Kardashian

 

If the lavish engagement is any indicator, Kim Kardashian and Kanye West's upcoming nuptials are going to be out of this world.
A source close to the couple tells E! News that their upcoming wedding is "going to be huge."
Prior to her engagement, the 33-year-old had mentioned that if she were to tie the knot again, she'd prefer it be an intimate affair with close friends and family.
But that may not be the case anymore.
The source explained that when the time comes for North West's mama to exchange vows with the rapper, "It's going to be the size of the capital."

Kim Kardashian, Instagram, Ring Instagram
"There won't be anything small about it," the insider added.
But back to the proposal heard around the world…
Between taking over San Francisco's AT&T Park, hiring a 50-piece orchestra and planning a firework-filled surprise, the evening was a night to remember.
And it looks like Kim, along with the rest of us, was absolutely stunned when Yeezy popped the big question.
"When the lights went on, she was frozen," the source said. "She was in complete shock."

Following the romantic moment, family and friends had "so much fun" when they gathered on the field and danced the rest of the night away.
Kim exclusively spoke with E! News just a day after the monumental occasion.
"Last night was truly magical!!! I am the luckiest girl in the world!" she gushed. "I get to marry my best friend!"
She also shared a pic of the jaw-dropping 15-carat flawless Lorraine Schwartz diamond ring on her Instagram with the caption, "YES!!!"
We can't wait for the wedding celebration!
 

Prince William, Kate Middleton and Prince George Arrive at Royal Christening.

 

Prince William, Prince George, Kate Middleton John Stillwell - WPA Pool /Getty Images
The big day has arrived! After Prince George's godparents and relatives entered the Chapel Royal in St. James' Palace on Wednesday, Oct. 23, Prince William and Kate Middleton gave the first glimpse of their 3-month-old son since his first official portraits were unveiled in late August. The Archbishop of Canterbury, Justin Welby, will preside over the intimate service.
Prince George was dressed in a handmade replica of the royal christening robe, made by Angela Kelly, dressmaker to Queen Elizabeth II.
Kate's parents, Michael and Carole, arrived with her siblings, Pippa and James. William's younger brother, Prince Harry, came with his grandmother, as well as Prince Philip, Prince Charles and Camilla Parker Bowles.
Prince George, Prince William, Kate Middleton 
Hours earlier, the palace announced that seven people will share the responsibility of being George's godparents: Oliver Baker, Emilia Jardine-Paterson, Earl "Hugh" Grosvenor, Jamie Lowther-Pinkerton, Julia Samuel, Zara Tindall and William van Cutsem.
 
Prince William, Prince George, Kate Middleton John Stillwell - WPA Pool /Getty Images
The big day has arrived! After Prince George's godparents and relatives entered the Chapel Royal in St. James' Palace on Wednesday, Oct. 23, Prince William and Kate Middleton gave the first glimpse of their 3-month-old son since his first official portraits were unveiled in late August. The Archbishop of Canterbury, Justin Welby, will preside over the intimate service.
Prince George was dressed in a handmade replica of the royal christening robe, made by Angela Kelly, dressmaker to Queen Elizabeth II.
Kate's parents, Michael and Carole, arrived with her siblings, Pippa and James. William's younger brother, Prince Harry, came with his grandmother, as well as Prince Philip, Prince Charles and Camilla Parker Bowles.
Prince George, Prince William, Kate Middleton John Stillwell/PA Wire/Press Association via AP Images
Hours earlier, the palace announced that seven people will share the responsibility of being George's godparents: Oliver Baker, Emilia Jardine-Paterson, Earl "Hugh" Grosvenor, Jamie Lowther-Pinkerton, Julia Samuel, Zara Tindall and William van Cutsem.

George's parents already bucked tradition by hosting the event in St. James' Palace as opposed to Buckingham Palace. "William and Kate are going to do things differently, and actually, their families are respectful of that," a royal source previously told E! News. "This won't be a case of a big rift. Christenings are not state occasions. They're private affairs and can be as big or intimate as the parents desire."
NEWS: Prince Harry works out before Prince George's christening
Prince William, Prince George, Kate Middleton John Stillwell - WPA Pool /Getty Images
Following the 45-minute service, Prince George's paternal grandparents will host a private tea in Clarence House. Guests will be served slices of christening cake, which is a tier taken from the Duke and Duchess of Cambridge's wedding cake.
George's parents have chosen Jason Bell as the official photographer for their son's christening. The pictures will be revealed on Thursday, Oct. 24.

MAMA WA LINEX AMKATA MCHUMBA WA LINEX SUVI RIKA NA KUSEMA HATAMBUI PETE ALIYOMVALISHA STORY IKO HAPA.




Sunday Mangu ‘Linex’ akiwa na baby mama wake Suvi Rikka.

Msanii wa  Bongo Fleva anaye fanya vizur sana kwenye gemu ya uziki wa muziki wa bongofleva  Sunday Mangu ‘Linex’ hivi karibuni pete ya uchumba demu wake amabye ni mzungu anayejulikana kwa jina la  Suvi Rikka sasa kwa habari zilizoko ni kwamba mama wa linex , Imelda Barnabas amemkata mzungu huyo amabye ndio mchumba wa mwanae linex na kumchana mwanaye kuwa haitambui pete wala mchumba huyo kwa kuwa kitendo hicho hakina baraka zake wala za familia.




Huyu ndie Suvi akiwa katika pozi pekee yake.

It's Official-Kim Kardashian & Kanye West are engaged(Photos)

Awww Finally Kim & Kanye are engaged.He popped the question to mark her 33rd birthday.According to E!
Kim Kardashian got the birthday surprise of a lifetime tonight.With a "marry meee "sign,The Reality star is engaged to longtime love Kanye West, the rapper popping the question in front of their friends and family at AT&T Park in San Francisco. he got down on one knee and proposed to Kim with a flawless 15-carat diamond ring by celebrity jeweler Lorraine Schwartz.
More below




 An orchestra played and fireworks and Roman candles exploded into the night sky, setting quite the mood for one heck of a birthday present for Kim, who turned 33 today.
When Kanye loves, he loves hard...

MPIGIE KURA AY KUIBUKA MSHINDI WA CHANNEL O MUSIC AWARDS 2013 KWENYE CATEGORY YA BEST GIFTED MALE VIDEO NA BEST GIFTED EAST VIDEO SUPPORT YAKO MUHIMU"


KUMPIGIA KURA TEMBELEA ONLINE...http://www.channelo.tv/

MAGAZETINI LEO JUMATANO 23 Oktoba 2013

MAGAZETINI LEO JUMATANO 23 Oktoba 2013









Elimu ya Tanzania iko mahututi

‘Elimu ya Tanzania iko mahututi’



Dar es Salaam. Siku moja baada ya maudhui ya Ripoti ya Tume iliyoundwa kuchunguza matokeo ya kidato cha nne ya mwaka jana kuwekwa wazi, wadau wa elimu wamekiri na kusema kuwa mfumo wa elimu ya Tanzania upo katika hali mbaya.
Akizungumza na gazeti hili jana, Mbunge wa kuteuliwa na Rais, James Mbatia alisema matokeo ya tume hiyo yanaonyesha udhaifu wa hali ya juu katika sekta ya elimu jambo ambalo alishawahi kulisema katika hoja maalumu bungeni.
Mbatia, ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, alisema alishawahi kuishauri Serikali kuufumua mfumo wa elimu nchini na kuanza upya ili kunusuru taifa la kesho ambalo ndilo linaloathirika na rasilimali watu zisizo na ubora.
Matokeo ya kidato cha nne ya mwaka jana yalionyesha kuwa asilimia 60.6 ya wanafunzi Tanzania walipata alama sifuri na wanafunzi 23,520 sawa na asilimia tano ndiyo waliofaulu jambo ambalo lilisababisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuunda tume ya kuchunguza matokeo hayo.
Baadaye, mitihani hiyo ilisahihishwa upya na Pinda kukabidhiwa matokeo Juni, mwaka huu.
“Nilishasema katika hoja yangu bungeni Januari 31 na Februari 1, mwaka huu nikamwomba waziri anionyeshe mitaala ya elimu ya sasa, lakini hakuitoa,” alisema Mbatia.
Mbatia alisema ili taifa hili liondokane na janga la elimu lililopo halina budi kukubali kuwa ni kweli Tanzania ipo katika janga la elimu na kuunda dira ya elimu itakayotuongoza katika safari ya elimu nchini.
Mbatia aliongeza kuwa elimu ya Tanzania ipo mahututi na kuwa kila mwaka wanafunzi wanaomaliza katika shule mbalimbali hawana sifa za kutosha za kuweza kushindana katika masoko ya kimataifa.
“Tumeshaanza kuona taifa linaangamia kwa sababu ya ubovu wa elimu, ni lazima tukiri hilo kwa sababu hata Rais alikiri na kuikubali hoja yangu Aprili 30 mwaka huu alipokuwa mkoani Mbeya” alisema Mbatia
Mbunge huyu ambaye awali aliteuliwa kuwa miongoni mwa wajumbe wa tume ya uchunguzi wa matokeo haya na kukataa kushiriki alisema, ili Serikali iondokane na janga hili haina budi kuunda Kamati ya Bunge ambayo itaisimamia Serikali na kutoa mawazo mapana kuhusu elimu.
Mbatia alishauri Bunge lisiegemee itikadi za vyama au porojo za kutaka sifa za kisiasa na badala yake suala la elimu lijadiliwe kwa maslahi ya taifa.
Mdau mwingine wa elimu, Dk Method Samwel, ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Elimu cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DUSE), alisema tatizo la elimu hapa nchini lielekezwe zaidi kwenye mfumo uliopo kuliko laumu taasisi au mtu mmoja mmoja.
Dk Samwel alisema tangu zamani mfumo wa elimu umekuwa ni wa kudorora na haya ni matokeo ya mfumo huo ambao haukuwa na misingi imara kwa muda mrefu.
Alitolea mfano wanaokwenda kusomea ualimu wengi ni wale waliofeli kwa kupata daraja la nne, jambo ambalo linasababisha wataalamu wa kada hiyo kuwa ni wale waliofeli pekee.
“Yapo mambo mengi yanayotakiwa kufanyiwa kazi katika sekta ya elimu Tanzania, suala la kudai kuwa Baraza la Mitihani na Taasisi kuwa ndizo taasisi zenye makosa, hazina ukweli,” alisema.
Hata hivyo, Dk Samwel alisema, tume hiyo bado ina maswali mengi ya kujibu kulingana na walichokisema katika sehemu ya ripoti yao.
“Nashindwa kuelewa kwa sababu kila nikisoma majibu ya tume hiyo napata maswali mengi zaidi. Kwa mfano, walimu waliofanya mtihani wakafeli walipewa muda wa kujiandaa? “ alihoji na kuongeza:
“Na kuhusu mitihani ya Tanzania kuonekana kuwa ni migumu zaidi, Je waliwapa mitihani ya Tanzania wanafunzi wa nchi nyingine au walitumia mbinu gani kupata matokeo hayo?”
Hata hivyo, Mkuu wa Kitivo cha Elimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Kitila Mkumbo, alipinga ripoti ya tume hiyo na kusema kuwa wamepotosha taarifa kwani tatizo halikuwa katika mtihani bali ni wanafunzi wenyewe wamefeli.
Dk Mkumbo amesema tatizo si la walimu, wala baraza, wala mitihani yenyewe bali ukweli utabaki kuwa wanafunzi walifeli mtihani wa Kidato cha Nne kwa sababu ya mfumo mbovu wa elimu.
Mhadhiri huyo alihoji tena kuwa tume hiyo ilitumia njia gani kujua kuwa mtihani wa Sayansi ulihitaji saa sita kuufanya na ni kwa mbinu gani waliupima mtihani wa Tanzania na kujua kuwa ni mgumu kuliko mitihani mingine.
“Nilipata ripoti fulani iliyoonyesha kuwa mitihani ya Tanzania ni mizuri na haina matatizo, ripoti ilionyesha kuwa haina chembe ya mashaka na inatungwa kwa ustadi. Tusitafute sababu, tatizo si mitihani ni wanafunzi wenyewe wamefeli,” alisema.
Pia, Dk Mkumbo alisema kuwa ni dharau kubwa kusema kuwa baadhi ya wasahihishaji hawakuwa na sifa kwani hilo ni tusi kubwa kwa walimu kwani wao ndiyo wamekuwa wakisahihisha kila siku.
Naye Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Shule Binafsi nchini,(Tamongsco), Albert Katagira alisema si kweli kuwa mtihani ulikuwa mgumu bali tatizo lipo katika uandaaji wa wanafunzi.
“Mtihani ulikuwan sahihi kabisa, mbona wanafunzi wengine walifaulu. Ni wanafunzi wenyewe, ambao nao hatuwezi kuwalaumu moja kwa moja,” alisema Katagira.
Alisema taifa bado lina tatizo katika mfumo wa elimu na kuweka mkazo katika masomo ya sayansi na hisabati ambayo yanaonekana kuwa magumu kwa wanafunzi wengi.
Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mafinga, Mustapha Mambea alisema, mtihani wa Fizikia na Kemia haikuwa migumu, lakini kuna mada kadhaa ambazo hawakufundishwa.
Profesa Mchome aongea
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome alisema kuwa wameshindwa kuiweka hadharani ripoti hiyo kwa kuwa bado inafanyiwa kazi serikalini.
Profesa Mchome, ambaye ndio aliongoza tume hiyo, alisema kuwa ripoti hiyo inatakiwa kupelekwa kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri kwa ajili ya kujadiliwa.
Alidokeza, hata hivyo, tayari walikuwa wameanza kufanyia kazi baadhi ya vitu vinavyotakiwa kufanyiwa kazi haraka kwenye ripoti hiyo.
Katibu Mkuu wa Necta, Dk Joyce Ndalichako, ambaye ameomba likizo ya muda mrefu ikitafsiriwa pengine ndio mwanzo wa utekelezaji wa ripoti hiyo.

"LULU ARUDI SEGEREA"

          "LULU ARUDI SEGEREA"
Kweli binadamu tumeumbwa na roho ya Huruma,hiyo imeonyeshwa na msanii mwenye makeke na vituko Nchini ,Elizabeth michael "lulu",pale alipoamua kuwapa salamu na kuwapatia moyo wasanii Nguza Viking na Mwanae,waliofungwa kwa tuhumuza kinajisi watoto...



lulu ali-tweet."Ninaamini mungu yupo na ye ndiye mwenye kuhukumu kwa Haki,dua zangu zipo pamoja namzee nguza na papii kocha,hakuna ambalo mungu asiloliweza na mola hata siku moja hakupi jaridu usiloliweza,mwenyezi mungu awasimamie katika rufaa yenu.
,AMEN.akiiashiria kwa wasanii hao wawili ambao wanasubiria kusikiliza rufaa ya kesi yao ambayo itatolewa ivi karibuni.
since lulu release from jail,the young movie star has changed a lot,kitabia tofauti na alivyokuwa akionekana hapo awali.




 

Monday, 21 October 2013

Angeles

The 'Voice' star was arraigned on an Ecstasy-related felony in L.A. court on Monday.

 Cee Lo Green arrives at the Los Angeles Court House on Monday.

 

Cee Lo Green has been charged with a felony count of furnishing a controlled substance by the Los Angeles County District Attorney's Office, stemming from an incident that occurred last July in a downtown L.A. restaurant.
In a statement released Monday (October 21), the D.A.'s Office alleges that Green "slipped ecstasy to a 33-year-old female while the two were dining" sometime between July 13 and 14, 2012, then later went back to the woman's hotel room, where she awoke to find herself naked in bed. According to several reports, LAPD investigated those claims — which Green denied to TMZ — though the singer and star of NBC's "The Voice" was never charged with any sex-related crime.
In their statement, the D.A.'s Office said that "Prosecutors declined to file a charge of rape of an intoxicated person, citing insufficient evidence."
On Monday afternoon, Green was formally arraigned at the Foltz Criminal Justice Center, where he pleaded not guilty to the felony charge, according to the Los Angeles Times. Prosecutors in the case asked Judge Shelly Torrealba to set his bail at $30,000. If convicted of the felony count, he could face up to four years in state prison.
A spokesperson for Green did not respond to MTV News' request for comment on the charge, nor did a rep for "The Voice."
 

               "SHINE WITH STYLE"

JUX HAS IT ALL!!!

 Simple and classy.

 Rock with black

Swag it up.

Party with class.

keep it hot

  Fabulous look

cool blue.

HOT! HOT!HOT!

           "BOYS LEARN FROM THE MAN"